Monday 10 February 2014


Hizi ndizo picha ambazo zimewai kuweka headline kwenye magazeti na blog nyingi hapa tz... huyu mtoto diamond ana balaaaaaaaaa... cheki alivompakatia huyo mtoto Linah Sanga,, INAsemekana bi wema kila akizkumbuka huwa zinamuuma kiaina




PICHA ZAIDI BOFYA HAPA

Sunday 9 February 2014




 Mtoto wa Askofu maarufu Mkoani Dodoma apiga picha za utupu na kuzisambaza makusudi ili kutafuta mapedeshee wa kumnanihiii..



Hapa akiwana glasi ya pombe kali


Katika hali isiyokuwa ya kawaida na kushtua mtoto wa Baba Askofu mmoja wa Kanisa" Jina linahidhawa" kupiga picha chafu na kuzirusha kwenye mtandai kwa lengo la kutafuta wanaume wenye pesa.
Habari za uhakika toka makao makuu yaa nchi yetu yani Dodoma "Agwe za uswelo" zilisema kuwa msichana huyo ambae amekuwa akitumia majina mengi ili kuwapoteza watu ili wasimjue kuwa yeye ni mtoto wa kiongozi huyo wa roho anaeheshimika sana mkoani humo na nchi nzima kwa ujumla.
Hata hivyo chanzo chetu kilisema kuwa jina lake halisi ni Ruthu lakini amekuwa na majina zaidi ya matano mara hujiita, Zaituni, au Jasmiin, Happynes, Yusra na Jackline yote hayo ni njia ya kuwapoteza maboya watu wanaomfahamu vyema.
Mtoto huyo amekuwa kamaha aliyekubuhu vibaya mno na na sababu kubwa inadaiwa kuwa ni kulelewa kimaadili na kubanwa sana lakini mara baada ya kupata upenyo na kuonja raha za dunia hali imekuwa mbaya unaambiwa amefungulia koki mwanaume yeyote yeye twende na mbaya zaidi nakunya kileo hivyo pombe ikimpanda kidogo tu hulazimisha wanaume mwenyewe wakamshughurikia.
Hata hivyo habari zaidi zilisema kuwa janja kubwa anayotumia msichna huyo ni pamoja na kujifanya mwanafuzni wa chuo cha St John Dodoma hali huku akimwaga ngeri kama hana akili nzuri halio inayompa heshima kuwa msomi kisha wanaume wenye madini ya kutosha hujiingiza mkenge. 







 
Amepiga picha na kuzisambaza facebook mungu atunusuru na haya majanga yakina dada ambao wana piga picha za uchi na kuweka kwenye mitandao ya kijamii JINA analo tumia facebook ni JESSICA KIKUMBI



Utandawazi  umeendelea  kuwaangamiza  dada  zetu  wanaopenda  kuiga  mambo  wasiyoyajua....

Katika  uchunguzi  wetu, mtandao  huu  umefanikiwa  kuzinasa  picha  za  mrembo  huyu akiwa  katika  pozi  la  nusu  uchi.

Hii si  mara  ya  kwanza  kwa  mtandao  huu  kuzinasa  picha  za  mrembo huyu ambazo  husambazwa  na  yeye  mwenyewe  kwa  wapenzi  wake  na  mashosti  zake....

Mapema  mwezi wa  saba, mtandao  huu  ulizinasa  picha  2  za  mrembo  huyu  na  kuamua  kuzipotezea. Mwezi  wa nane  tulinasa  picha  zake  tena  na  kuamua  kuzipotezea...

Awamu  hii  tumetumiwa  tena  sample  nyingine  ya  picha  zake  za  utupu.Hii  inadhihirisha  kwamba  ni  kawaida  yake  kujifotoa  akiwa  mtupu.

Kwa  kuwa  sote  tunajua  kwamba  maadili  ya  kitanzania  hayaruhusu   mchezo  huu  mchafu  wa  mikanda  na  picha  za  uchi, mtandao  huu  umeamua  kumuumbua  kama  ilivyo  kwa  watu  wengine  ili  iwe  fundisho  kwa  dada  zetu  wengine.


TUJIKUMBUSHE: 
Mapema  mwezi  wa  sita  mwaka  huu, polisi  kanda  maalumu  ya  Dar  ilimfukuza  kazi  polisi mmoja  wa  kike  baada  ya  picha  zake  za  UCHI  kuvuja  mitandaoni.

Hii  inadhihirisha  umakini  wa  serikali  yetu  katika  kuyalinda  na  kuyatetea  maadili  ya  mtanzania  ambayo  yamekuwa  yakibomolewa  makusudi.